Katibu Tawala Msaidizi,Uchumi na Mipango Mkoa wa Mwanza, Johansen Bukwali akifungua Mafunzo ya Mfumo Mpya wakuaandaa Mipango na Bajeti za Serikali za Mitaa (PlanRep) kwa maafisa Mipango, Wachumi, Wahasibu, Maafisa Tehema na Makatibu wa Afya wa Halmashauri kutoka Mikoa ya Kanda ya Ziwa yaliyofanyika Jijini Mwanza, leo Tarehe 24 Julai 2017.
Afisa Msimamizi wa Fedha Mwandamizi kutoka TAMISEMI,  Elisa Rwamiago akitoa mafunzo ya Mfumo Mpya wakuaandaa Mipango na Bajeti za Serikali za Mitaa (PlanRep) kwa maafisa Mipango, Wachumi, Wahasibu, Maafisa Tehema na Makatibu wa Afya wa Halmashauri kutoka Mikoa ya Kanda ya Ziwa yaliyofanyika Jijini Mwanza, leo Tarehe 24 Julai 2017.
 Washiriki wa Mafunzo ya Mfumo Mpya wakuaandaa Mipango na Bajeti za Serikali za Mitaa (PlanRep) wakifuatilia mafunzo yaliyofanyika Jijini Mwanza, leo Tarehe 24 Julai 2017.
Mgeni rasmi (katikati walio kaa) akiwa katika picha ya pamoja na Washiriki wa Mafunzo ya Mfumo Mpya wakuaandaa Mipango na Bajeti za Serikali za Mitaa (PlanRep) kutoka Mkoa wa Geita yaliyofanyika Jijini Mwanza, leo Tarehe 24 Julai 2017.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...